Lengo Kuu
Maono ya idara ya watoto yana msingi katika kitabu cha Mithali 22:6, “Mlee mtoto katika njia ipasayo naye hataiacha, hata atakapokuwa mzee.”
Hivyo basi idara ya watoto imelenga kuwafanya watoto wamjue Mungu na njia zake mapema iwezekanavyo.




