Lengo Kuu
Kumjenga kijana wa ENCC katika imani thabiti ya Kikristo ili aishi maisha matakatifu na yenye ushuhuda na mfano wa kuigwa katika jamii. Kumwandaa kijana kuwa mtumishi na kiongozi wa siku zijazo.
1 Nyakati 12:22; Ufunuo 12:7-9; Isaya 14:12; Wakolosai 2:14-15; Daniel 10:20; Luka 1:26; Isaya 28:29; Isaya 31:5
Ni idara ya vijana inayolenga kuwaunganisha vijana wote wa ENCC katika kumtumikia Mungu kwenye huduma mbalimbali kanisani, 1 Yohana 2:14. Idara hii ni ya baraka makanisani kwani kupitia idara hii vijana wanapata kujifunza wajibu wao ndani ya Kanisa na kuwa na moyo wa kumtumikia Mungu.
• Juni: Kongamano la Kitaifa
• Aprili: Kwenda na mawindo kupokea baraka, ngazi ya Kitaifa
• Oktoba: Kwenda na mawindo kupokea baraka, ngazi ya Kanisa