Idara ya Wababa
Idara ya Wanawake
Idara ya Vijana (hadi miaka 40)
Idara ya Watoto
Karibu Mji wa Bwana: Mahala Mabaya Yasiporuhusiwa kuharibu.
Idara inayohusika na kuhudumu katika ibada kwa sifa na kuabudu.
Idara inayohusika na kurekodi vipindi vya video na sauti.
Kikosi maalumu kwa ajili ya maombi na maombezi.
Idara inayoshughulikia na kusimamia utaratibu wa ibada na kufikia jamii kihuduma.
Kikosi kinachohusika na kuweka mazingira ya Mji wa Bwana katika hali nzuri na kupendeza (kuyapenda mavumbi ya Sayuni).